Biden anatarajiwa kufanya uteuzi wa kwanza wa mawaziri wiki hii

In Kimataifa

Rais mteule wa Marekani Joe Biden atafanya uteuzi wa kwanza wa baraza la mawaziri Jumanne wiki hii, kulingana na taarifa iliyotolewa na mkuu wake wa utumishi. Rais Donald Trump ameendelea na madai yake ya kuwepo na udanganyifu katika uchaguzi wa rais na kuongezeka kwa upinzani ndani ya chama chake mwenyewe huku akikataa kukubali kushindwa. Biden ameendelea na maandalizi ya kuchukua madaraka ifikapo Januari 20, licha ya jaribio la Trump la kutaka kubatilisha matokeo ya uchaguzi wa Novemba 3. Trump amepata pigo jingine baada ya kesi yake ya kupinga matokeo kutupiliwa mbali. Hii ni baada ya timu ya kampeni ya Trump kuwasilisha kesi mahakamani iliyonuia kupinga matokeo ya kura zilizopigwa kwa njia ya posta katika jimbo la Pennsylvania.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu