BOT yaziunganisha Benki za Twiga na TPB.

In Uchumi

Benki Kuu ya Tanzania (BOT) imeziunganisha Benki za Twiga na TPB na kuwa benki moja kwa malengo ya kuongeza ufanisi wa taasisi za fedha za kiserikali.

Hayo yamebainishwa jijini Dar es Salaam leo (Jumatano) na Naibu Gavana wa BOT, Bernard Kibesse huku akieleza dhamira ya kuchukua uamuzi huo ni kuleta ufanisi katika taasisi za fedha zilizo chini ya serikali.

Benki hiyo itajulikana kwa jina la TPB Bank hivyo, wateja waliokuwa Benki ya Twiga wataunganishwa na wale wa Benki ya Posta. Mapema mwezi huu, BOT ilitangaza kuwa ipo kwenye mchakato wa kuziunganisha benki hiyo na kuwa benki moja baada ya TPB na Twiga kushindwa kujiendesha. Kutokana na kutetereka kwa benki hizo, mwaka juzi, BOT iliziweka chini ya uangalizi maalum.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu