Britney Spears aonana na Watoto wake

In Burudani, Kimataifa

Hatimaye Britney Spears, ameweza kuwaona watoto wake, kwani alikua amezuiliwa
amezuiliwa kuona watoto wake na aliye kuwa mume wake na mzazi mwenzake, Kevin
Federline,


Ex huyu wa Britney spears, ameonyeshwa kutokufurahishwa na safari ya Britney kuelekea
Lousiana kuona familia yake mwishoni mwa mwezi wa nne, na kumwambia kwamba kama
atataka kuwaona watoto wao Sean (14) na Jayden(13) lazima ajitenge kwa siku 14, na
mwanzoni mwa wiki hii ameweza kuwaona watoto wake baada ya kumaliza siku 14 za
kujitenga!

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu