Bunge la China lauwekea sheria wimbo wa taifa.

In Kimataifa, Siasa

Bunge la China linatafakari juu ya rasimu ya sheria, ambayo itarasimisha kuwa ni kosa la jinai linalostahili hukumu ama kifungo, juu ya tabia ya kudharau wimbo wa kitaifa wa nchi hiyo.

Kosa kubwa zaidi litakalochukuliwa kama uhalifu mkubwa, ni kwa wale wanaorejelea maneno ya wimbo huo wa taifa na kutumia mashairi ya wimbo huo vibaya.

Watakapokamatwa na kuthibitika kutenda kosa hilo, wao watahukumiwa kifungo cha miaka kumi a mitano jela.

Mamlaka nchini China wanataka watu ambao watajitolea kuzingatia matukio rasmi,kama vile mikusanyiko ya kisiasa na katika michuano ya mpira wa miguu.

 

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

RC MBEYA AFANYA UZINDUZI ZOEZI LA UGAWAJI VITAMBULISHO VYA (NIDA)

Mkuu wa mkoa wa mbeya Mhe. Comrede Juma Zuberi Homera amefanya uzinduzi wa wa zoezi la ugawaji wa vitambulisho

Read More...

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

NACTIVET YASIMAMISHA MAFUNZO CHUO CHA MBEYA TRAINING..DC MALISA AAGIZA KUFANYIWA UHAKIKI VYUO VYOTE WILAYA YA MBEYA

Wazazi Wanafunzi na wahitimu wa chuo cha Mbeya training wameiomba serikali iwasaidie kurudishiwa stahiki zao mara baada ya kubainika

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu