Bunge la China lauwekea sheria wimbo wa taifa.

In Kimataifa, Siasa

Bunge la China linatafakari juu ya rasimu ya sheria, ambayo itarasimisha kuwa ni kosa la jinai linalostahili hukumu ama kifungo, juu ya tabia ya kudharau wimbo wa kitaifa wa nchi hiyo.

Kosa kubwa zaidi litakalochukuliwa kama uhalifu mkubwa, ni kwa wale wanaorejelea maneno ya wimbo huo wa taifa na kutumia mashairi ya wimbo huo vibaya.

Watakapokamatwa na kuthibitika kutenda kosa hilo, wao watahukumiwa kifungo cha miaka kumi a mitano jela.

Mamlaka nchini China wanataka watu ambao watajitolea kuzingatia matukio rasmi,kama vile mikusanyiko ya kisiasa na katika michuano ya mpira wa miguu.

 

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Serikali kuunga mkono juhudi za Taasisi mbali mbali.

Rais wa Zanzibar Dkt Hussein Mwinyi, amesema serikaliitaendelea kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Taasisi yaZanzibar Maisha Bora Foundation,pamoja na

Read More...

DKT. KIRUSWA AZINDUA MFUMO WA USHIRIKISHWAJI WA WATANZANIA KATIKA SEKTA YA MADINI

Watanzania waendelea kunufaika Sekta ya Madini, ajira 15,341 zamwagwa, manunuzi ya ndani ya nchi yafikia Dola za Marekani bilioni

Read More...

MAFURIKO YAUWA 190 MALAWI

Takriban watu 190 sasa wamethibitishwa kufariki nchini Malawi baada ya Dhoruba ya Mafuriko ya Tropiki Freddy kulikumba eneo

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu