Bunge la Nepal limemchagua mwanasiasa mkongwe Sher Bahadur Deuba, kama waziri mkuu mpya wa nchi hiyo.

In Kimataifa

Bunge la Nepal limemchagua mwanasiasa mkongwe Sher Bahadur Deuba, kama waziri mkuu mpya wa nchi hiyo.

Hii ni kwa mara ya nne Deuba kuwa waziri mkuu wa taifa hilo la milima ya Himalaya.

Ni kiongozi wa 10 wa Nepal katika miaka 11, na alichaguliwa bila ya kupingwa katika uchaguzi uliofanyika bungeni Jumanne uiliyopita.

Deuba ataongoza serikali ya mseto na chama Moaist Center, kinachoongozwa na mtangulizi wake, aliyekuwa mkuu wa vita vya msituni Pushpa Kamal Dahal.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

NACTIVET YASIMAMISHA MAFUNZO CHUO CHA MBEYA TRAINING..DC MALISA AAGIZA KUFANYIWA UHAKIKI VYUO VYOTE WILAYA YA MBEYA

Wazazi Wanafunzi na wahitimu wa chuo cha Mbeya training wameiomba serikali iwasaidie kurudishiwa stahiki zao mara baada ya kubainika

Read More...

TETESI ZA SOKA ULAYA LEO JUMANNE NOVEMBA 7, 2023

Manchester United na Newcastle United zote zinamfuatilia mshambuliaji wa Lyon Mfaransa Rayan Cherki, 20, ambaye mkataba wake unamalizika Juni

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu