Bunge la Nepal limemchagua mwanasiasa mkongwe Sher Bahadur Deuba, kama waziri mkuu mpya wa nchi hiyo.

In Kimataifa

Bunge la Nepal limemchagua mwanasiasa mkongwe Sher Bahadur Deuba, kama waziri mkuu mpya wa nchi hiyo.

Hii ni kwa mara ya nne Deuba kuwa waziri mkuu wa taifa hilo la milima ya Himalaya.

Ni kiongozi wa 10 wa Nepal katika miaka 11, na alichaguliwa bila ya kupingwa katika uchaguzi uliofanyika bungeni Jumanne uiliyopita.

Deuba ataongoza serikali ya mseto na chama Moaist Center, kinachoongozwa na mtangulizi wake, aliyekuwa mkuu wa vita vya msituni Pushpa Kamal Dahal.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu