Bunge la Nepal limemchagua mwanasiasa mkongwe Sher Bahadur Deuba, kama waziri mkuu mpya wa nchi hiyo.

In Kimataifa

Bunge la Nepal limemchagua mwanasiasa mkongwe Sher Bahadur Deuba, kama waziri mkuu mpya wa nchi hiyo.

Hii ni kwa mara ya nne Deuba kuwa waziri mkuu wa taifa hilo la milima ya Himalaya.

Ni kiongozi wa 10 wa Nepal katika miaka 11, na alichaguliwa bila ya kupingwa katika uchaguzi uliofanyika bungeni Jumanne uiliyopita.

Deuba ataongoza serikali ya mseto na chama Moaist Center, kinachoongozwa na mtangulizi wake, aliyekuwa mkuu wa vita vya msituni Pushpa Kamal Dahal.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu