Bunge lapiga marufuku masuala ya usalama wa Taifa kujadiliwa Bungeni.

In Kitaifa

Bunge limepiga marufuku masuala ya Usalama wa taifa kujadiliwa ndani ya chombo hicho, isipokuwa kama mbunge anaweza kuwasilisha hoja mahususi.
Naibu Spika wa Bunge Dk Tulia Ackson ametoa uamuzi huo jana, wakati Mbunge wa Viti Maalum (CCM) Angelina Malembeka alipokuwa akichangia mjadala wa makadirio ya mapato na matumizi ya Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) kwa mwaka wa fedha wa 2017/18.
Katika kuchangia mjadala huo Malembeka alisema Idara ya Usalama wa Taifa inapaswa kuanza kuwahoji wabunge, walioeleza kuwa wana orodha ya wabunge 11 wanaotarajiwa kutekwa nyara na idara hiyo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu