Bunge lapiga marufuku masuala ya usalama wa Taifa kujadiliwa Bungeni.

In Kitaifa

Bunge limepiga marufuku masuala ya Usalama wa taifa kujadiliwa ndani ya chombo hicho, isipokuwa kama mbunge anaweza kuwasilisha hoja mahususi.
Naibu Spika wa Bunge Dk Tulia Ackson ametoa uamuzi huo jana, wakati Mbunge wa Viti Maalum (CCM) Angelina Malembeka alipokuwa akichangia mjadala wa makadirio ya mapato na matumizi ya Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) kwa mwaka wa fedha wa 2017/18.
Katika kuchangia mjadala huo Malembeka alisema Idara ya Usalama wa Taifa inapaswa kuanza kuwahoji wabunge, walioeleza kuwa wana orodha ya wabunge 11 wanaotarajiwa kutekwa nyara na idara hiyo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu