CCM waongeza nafasi za Wajumbe Halmashauri kuu

In Kitaifa

Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk Samia Suluhu amesema ili kupanua wigo, halmashauri kuu ya chama hicho leo imeamua kuwasilisha mapendekezo ya kuongeza nafasi za Wajumbe wa Halmashauri Kuu kutoka viti 15 kwa Bara na viti 15 kwa Zanzibar na kuwa na viti 20 Bara na 20 Zanzibar.

Rais Dk Samia ametoa uamuzi huo umetolewa katika Mkutano Mkuu wa 10 wa chama hicho, huku Rais Samia akisisitiza kuwa matarajio yake kuwa wajumbe wa mkutano huo watambue dhamira njema ya Halmashauri kuu ya CCM Taifa kuhusu mapendekezo ya kuongeza idadi ya wajumbe wa Halmashauri Kuu ili kukipa chama sura mpya kwa utekelezaji bora wa mipango yake.

“Wote walioteuliwa kugombea nafasi walizoomba ni washindi kwasababu Chama kimewaamini kuwa yeyote ambaye atachaguliwa huko nyuma na leo ni mwanachama ambaye anaweza kuongeza nguvu zake katika kukijenga chama,” amesema Dk Samia.

Dk Samia ametoa wito kwa wanachama walioteuliwa kugombea nafasi za ujumbe wa halmashauri kuu kutambua lengo la uchaguzi si kutafuta ushindi wa mtu mmoja mmoja bali ni mkakati wa kujiimarisha ili kutafuta ushindi wa chama katika chaguzi zijazo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu