CCM yaomboleza kifo cha Mbunge Gama.

In Kitaifa
Chama Cha Mapinduzi, kimetoa salamu za rambirambi kufuatia kifo cha aliyekwa Mbunge wa Songea Mjini kwa tiketi ya chama hicho Ndg Leonidas Gama kilichotokea usiku wa kuamkia leo.
Uongozi wa CCM chini ya Mwenyekiti wa Chama hicho Ndg, John Pombe Magufuli umetoa salamu hizo kupitia kwa Katibu Mwenezi, Ndg Humphrey Polepole imesea kwamba chama kimepokea taarifa za kifo hicho kwa mshtuko mkubwa na huzuni.
Aidha taarifa hiyo imeeleza kwamba kipindi chote cha uongozi wake alikuwa sehemu ya viongozi wa kisiasa ambao waliamini katika uelewa wa pamoja na matarajio, siasa safi na za kimaendeleo, uongozi bora na umuhimu wa kuweka maslahi ya nchi na taifa mbele.
 Mhe. Leonidas Gama amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Peramiho, Ruvuma.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu