Chadema wazungumza baada ya Lissu Kushambuliwa.

In Kitaifa, Siasa

 

Katibu Mkuu wa Chadema Doctor Vincent Mashinji, amesema kuwa mjumbe wa kamati kuu ya chama hicho Tundu Lissu anaendelea vizuri na ameshazinduka.

Antenna imemnasa Dk Mashinji,ambaye amezungumza mambo mbali mbali,ikiwemo taarifa kutoka kwa mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe, ambaye aliongozana na Lissu kupata matibabu Nairobi nchini Kenya.

Kutokana na ktukio hilo pia Dk Mashinji ametoa wito kwa wanachama wote wa chadema na watanzania kwa ujumla, kwenda kwenye hospitali na zahanati kutoa damu,ili ziweze kuwasaidia wenye uhitaji, lakini pia ameitaja namba ya akaunti ya benk, ambayo watu wanaweza kutoa michango yao kusaidia matibabu ya Lissu.

Kwa upande wake waziri mkuu mstaafu Fredrick Sumaye ambaye alikuwepo katika mkutano huo, pia alipata nafasi ya kulizungumzia tukio hilo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu