Chadema wazungumza baada ya Lissu Kushambuliwa.

In Kitaifa, Siasa

 

Katibu Mkuu wa Chadema Doctor Vincent Mashinji, amesema kuwa mjumbe wa kamati kuu ya chama hicho Tundu Lissu anaendelea vizuri na ameshazinduka.

Antenna imemnasa Dk Mashinji,ambaye amezungumza mambo mbali mbali,ikiwemo taarifa kutoka kwa mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe, ambaye aliongozana na Lissu kupata matibabu Nairobi nchini Kenya.

Kutokana na ktukio hilo pia Dk Mashinji ametoa wito kwa wanachama wote wa chadema na watanzania kwa ujumla, kwenda kwenye hospitali na zahanati kutoa damu,ili ziweze kuwasaidia wenye uhitaji, lakini pia ameitaja namba ya akaunti ya benk, ambayo watu wanaweza kutoa michango yao kusaidia matibabu ya Lissu.

Kwa upande wake waziri mkuu mstaafu Fredrick Sumaye ambaye alikuwepo katika mkutano huo, pia alipata nafasi ya kulizungumzia tukio hilo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu