CHADEMA wazungumzia hali Lissu kwa sasa.

In Kitaifa, Siasa

Ikiwa ni siku kadhaa zimepita tangu mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissi kushambuliwa kwa risasi na watu wasiojulikana nyumbani kwake Dodoma.

Chama cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA kwa mara nyingine leo wamekutana na wanahabari na kuzungumzia tukio la kushambuliwa Tundu Lissu na hali yake inavyoendelea kwa sasa.

Akielezea tukio hilo katibu Mkuu wa chama hicho Doctor Vincent Mashinji, amesema kama aliyetekeleza kitendo hicho yuko miongoni mwa watanzania, hana budi kujitathimini kwa kitendo hicho cha kinyama.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu