CHADEMA wazungumzia hali Lissu kwa sasa.

In Kitaifa, Siasa

Ikiwa ni siku kadhaa zimepita tangu mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissi kushambuliwa kwa risasi na watu wasiojulikana nyumbani kwake Dodoma.

Chama cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA kwa mara nyingine leo wamekutana na wanahabari na kuzungumzia tukio la kushambuliwa Tundu Lissu na hali yake inavyoendelea kwa sasa.

Akielezea tukio hilo katibu Mkuu wa chama hicho Doctor Vincent Mashinji, amesema kama aliyetekeleza kitendo hicho yuko miongoni mwa watanzania, hana budi kujitathimini kwa kitendo hicho cha kinyama.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Watu 193 wawekwa karantini kisa virusi vya Marburg.

Mganga Mkuu wa serikali Dkt Tumaini Nagu,amesema hakuna kisa kipya kilichoongezeka kuhusu vifo vilivyosababishwa na virusi vya Ugonjwa wa

Read More...

SERIKALI YAFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KATIKA HUDUMA ZA HALI YA HEWA

SERIKALI kupitia Wizara ya Ujenzi na uchukuzi,isemema kuwa katika kuhakikisha wanakuwa na Taarifa za uhakika za Hali ya hewa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu