Chama cha watu wenye ualbino nchini(TASI),kimeitaka serikali kuhakikisha inafuatalia kwa ukaribu matukio mbalimbali ambayo wanakutananayo kwa kuyapa uzito kama ilivyo kuwa kwa Faru John.

In Kitaifa

Chama cha watu wenye ualbino nchini(TASI),kimeitaka serikali kuhakikisha inafuatalia kwa ukaribu matukio mbalimbali ambayo wanakutananayo kwa kuyapa uzito kama ilivyo kuwa kwa Faru John.

Kauli hiyo imetolewa leo Mjini Dodoma na Mwenyekiti wa Chama hicho Taifa,Colman Temba wakati wa mkutano na waandishi wa habari  ambapo amesema licha ya serikali kuonyesha juhudi za kupambana na ukatili kwa watu wenye ualbino lakini bado kuna mapungufu makubwa.

Aidha amebainisha kuwa   licha ya Serikali kupitisha sheria ya makosa ya mtandao bado sheria hizo zimekuwa zikiwalenga watu ambao wanaonekana kuwa na nafasi kubwa serikalini lakini siyo katika jamii ya watu wenye ualbino.

Katika hatua nyingine Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu,sera Bunge,Ajira,Vijana na Watu wenye Ulemavu,JENISTER MHAGAMA anatarajiwa kuwa ngeni rasmi katika Maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya uelewa juu ya watu wenye ualbino mjini Dodoma.

TEMBA amesema maadhimisho hayo yanalenga Takwimu na Tafiti kwa ustawi wa kutoa elimu kwa jamii ili kuhakikisha wanatambua umuhimu wa kuwepo ikiwa ni pamoja na  kushirikiana na watu wenye ulemavu.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu