Chama tawala cha Rwanda Patriotic Front RPF kimetangaza kuanza kampeni za urais ijumaa katika mkoa wa Kusini.

In Kimataifa

Chama tawala cha Rwanda Patriotic Front RPF kimetangaza kuanza kampeni za urais ijumaa katika mkoa wa Kusini.

Mwezi uliopita Chama cha RPF kilimchagua rais wa sasa Paul Kagame wa Rwanda kuwa mgombea urais wa chama hicho, atakayeshindana na Frank Habineza wa chama cha kijani, na mgombea huru Philipe Mpayimana.

Katibu mkuu wa chama cha RPF Bw Francois Ngarambe amesema RPF itafanya kampeni nchini kote na kuwafahamisha wananchi wa Rwanda mipango yake katika miaka saba ijayo.

Kampeni za uchaguzi zitaanza rasmi kesho hadi tarehe 3 mwezi ujao wilayani Ruhango, mkoa wa Kusini.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu