Darasa la 7 Kuanza Mitihani ya Kuhitimu Kesho.

In Kitaifa

 

Wanafunzi zaidi ya mia 9 na 17 wanatarajiwa kufanya mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi kesho na keshokutwa Septemba 6 na 7.
Kati ya wanafunzi hao asilimia 47.19 ni wavulana, wakati asilimia 52.81 ni wasichana.
Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani Tanzania Necta Dk Charles Msonde, amesema maandalizi yameshakamilika ikiwa ni pamoja na kusambazwa kwa vifaa vinavyohitajika katika halmashauri zote nchini.
Dk Msonde amezitaka halmashauri kuhakikisha utaratibu wa uendeshaji wa mitihani unazingatiwa.

 

Na kwa upanda mwingine Baraza la Mitihani Tanzania Necta limeeleza kuwa, shule zote zinazofungiwa kuwa vituo vya mitihani kutokana na sababu za ukiukwaji wa kanuni za baraza hilo haimaanishi shule hizo zinafungiwa kabisa kufundisha,bali zinafutiwa kibali cha kuwa vituo vya kufanyia mitihani.

 

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu