Dk Hamisi Kigwangala aagiza wakuu wa mikoa kukaa pamoja na viongozi wa sekta ya Afya katika wilaya zao.

In Kitaifa

Naibu Waziri wa Afya, Jinsia, Wazee na Maendeleo ya Jamii Dk Hamis Kigwangala, amewaagiza wakuu wa mikoa kukaa pamoja na viongozi wa sekta ya afya katika wilaya zao, kuhakikisha huduma za kliniki tembezi ya madaktari bingwa zinafika vijijini.
Dk Kigwangala ametoa agizo hilo juzi wilayani Kongwa, wakati akizindua huduma ya kliniki tembezi ya madaktari bingwa, inayoendeshwa na madaktari wa bingwa wa Hospitali ya Rufani ya mkoa wa Dodoma.
Hata hivyo amesema ili kufanikisha kampeni hiyo ya kliniki tembezi ya madaktari bingwa, kila wilaya inatakiwa kuhakikisha inapanga bajeti ya kutoa huduma hiyo kwa mwaka wa fedha 2017/18.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu