Dk Hamisi Kigwangala aagiza wakuu wa mikoa kukaa pamoja na viongozi wa sekta ya Afya katika wilaya zao.

In Kitaifa

Naibu Waziri wa Afya, Jinsia, Wazee na Maendeleo ya Jamii Dk Hamis Kigwangala, amewaagiza wakuu wa mikoa kukaa pamoja na viongozi wa sekta ya afya katika wilaya zao, kuhakikisha huduma za kliniki tembezi ya madaktari bingwa zinafika vijijini.
Dk Kigwangala ametoa agizo hilo juzi wilayani Kongwa, wakati akizindua huduma ya kliniki tembezi ya madaktari bingwa, inayoendeshwa na madaktari wa bingwa wa Hospitali ya Rufani ya mkoa wa Dodoma.
Hata hivyo amesema ili kufanikisha kampeni hiyo ya kliniki tembezi ya madaktari bingwa, kila wilaya inatakiwa kuhakikisha inapanga bajeti ya kutoa huduma hiyo kwa mwaka wa fedha 2017/18.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu