Drake inaonekana amemuunfollow Kanye West kwenye
Instagram baada ya miaka mitano na hii ni kuendeleza kile
kinachodaiwa kuwa wawili hao bado hawapo sawa.
Kwa upande wa kanye amefollow watu zaidi ya 7,126 ambao
wote profile picha zao zinafanana na profile yake.
Ye na Drake drama zao zilifkia hatua ya Verzuz.
Akiongea na mtangazaji mkongwe wa redio Angie Martinez
kwenye kipindi cha Angie Martinez mnamo Septemba,
mwanzilishi wa Verzuz Swizz Beatz alipendekeza Ye alikuwa
tayari kumuangamiza Drake kwenye battle.