Eto’o akanusha kuhusishwa kutoa fedha kwa waliyokwama Libya.

In Kimataifa

Nahodha wazamani wa timu ya taifa ya Cameroon na mshambuliaji wa FC Barceloma, Samuel Eto’o amekanusha tuhuma za kuwapatia fedha raia wa nchi hiyo ambao walikuwa wamekwama Libya na kuelezwa kuwa wamekuwa wakiuzwa kama watumwa.

Kupitia mitandao yake ya kijamii ya Instagram na Facebook Eto’o amekanusha vikali juu ya tuhuma hizo na kuwasihi watu kuonyesha upendo zaidi kwakuwa ndiyo kitu pekee kinachoweza kupambana na maovu na wala sio fedha.

Mshambuliaji huyo amehusishwa kuwaokoa Wacameroon waliyokuwa wamekwama Libya na kuwalipia usafiri wa ndege huku ikielezwa kuwa atatoa fedha kwa kila raia wa nchi yake aliyeokolowa.

“Several sites have circulated a rumor that I would have given money to every migrant returnee, in relation to a topical issue. This rumor is absolutely unfounded!”

“I would therefore take advantage of this opportunity, dear brothers and sisters, to emphasize that love prevents more evils than money can solve.”

“So let’s not waste our precious time looking for thrills at the expense of grieving people, but let us use this time to prevent other brothers from being deprived of their dignity.”

“Let us not just react when we can prevent, because among these victims are certainly people who have been our neighbours at some point, but to whom we have not daigné to look kindly. Let us build our Africa by having a positive impact on each other!.”

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu