FRENCH MONTANA KUACHIA ALBUM YAKE MPYA.

In Burudani, Kimataifa

French Montana anatarajiwa kuachi albamu yake mpya “They Got Amnesia” Ijumaa hii, Novemba 12.
Kufikia sasa, rapper huyo ametoa nyimbo mbili, kutoka kwenye album ambayoni ‘I Don’t Really Care’ikiwa no 4 na ‘Panicking’ no 9. amezindua orodha rasmi ya nyimbo zinazopatikana kwenye albamu hiyo ikiwa na ngoma 20 pamoja na bonus track 1.


They got amnesia imewakutanisha wakali mbalimbali kama Rick Ross, John Legend, Pop Smoke, Kodak Black, Doja Cat, Saweetie, Latto, Ty Dolla Sign, CoiLeraynawengineo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu