French Montana anatarajiwa kuachi albamu yake mpya “They Got Amnesia” Ijumaa hii, Novemba 12.
Kufikia sasa, rapper huyo ametoa nyimbo mbili, kutoka kwenye album ambayoni ‘I Don’t Really Care’ikiwa no 4 na ‘Panicking’ no 9. amezindua orodha rasmi ya nyimbo zinazopatikana kwenye albamu hiyo ikiwa na ngoma 20 pamoja na bonus track 1.
They got amnesia imewakutanisha wakali mbalimbali kama Rick Ross, John Legend, Pop Smoke, Kodak Black, Doja Cat, Saweetie, Latto, Ty Dolla Sign, CoiLeraynawengineo.