Gabon imemkamata mwanasiasa wa Upinzani

In Kimataifa
Mamlaka nchini Gabon imemkamata na kumzuilia mwanasisa wa upinzani baada ya kumtishia maisha Rais Ali Bongo.
Roland Desire Aba’a Minko alikamatwa baada ya kutishia usalama wa taifa, kuchochea mapinduzi na kueneza habari zisizo za ukweli.
Mapema mwezi huu Bwana Aba’a Minko alitisha kulipua mali ya serikali ikiwa bwana Bongo angekataa kuondoka madarakani ndani ya miaka mitatu.
Alisema kuwa Jean Ping ambaye alitangazwa kushinda kwenye uchaguzi wa mwaka uliopita, ndiye kiongozi wa nchi hiyo.
Bwana Aba’a Minko alisimama kama mgombea huru kabla ya kujiondoa na kumuunga mkono Bwana Ping.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Maagizo ya wizara kuhusu mfuko wa maendeleo ya kilimo.

Naibu Waziri Wa Kilimo Anthony Mavunde, amesema serikaliimeanza kutekeleza uanzishwaji wa mfuko wa maendeleo yakilimo utakaosaidia kukabiliana na changamoto

Read More...

TANZIA: WAZIRI MSTAAFU WA KILIMO AFARIKI DUNIA

Aliyewahi kuwa mbunge wa jimbo la Musoma Vijijini na Waziri wa Kilimo na Mifugo Mhe. Herman Kirigini Amefariki Dunia. Akithibitisha

Read More...

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Professor Makame Mbarawaameliomba Bunge kumuidhinishia kiasi cha Sh Trilioni 3.6ikiwa ni makadirio ya mapato

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu