Gabon imemkamata mwanasiasa wa Upinzani

In Kimataifa
Mamlaka nchini Gabon imemkamata na kumzuilia mwanasisa wa upinzani baada ya kumtishia maisha Rais Ali Bongo.
Roland Desire Aba’a Minko alikamatwa baada ya kutishia usalama wa taifa, kuchochea mapinduzi na kueneza habari zisizo za ukweli.
Mapema mwezi huu Bwana Aba’a Minko alitisha kulipua mali ya serikali ikiwa bwana Bongo angekataa kuondoka madarakani ndani ya miaka mitatu.
Alisema kuwa Jean Ping ambaye alitangazwa kushinda kwenye uchaguzi wa mwaka uliopita, ndiye kiongozi wa nchi hiyo.
Bwana Aba’a Minko alisimama kama mgombea huru kabla ya kujiondoa na kumuunga mkono Bwana Ping.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu