Halmashauri zimenyang’anywa mamlaka za kutengeneza barabara-Mdee.

In Kitaifa

Mbunge Jimbo la Kawe lililopo jijini Dar es salaam Halima Mdee, amesema halmashauri zote zimenyang’anywa mamlaka ya kutengeneza barabara nchini, hivyo wananchi wanatakiwa kulifahamu hilo.

Ameyasema hayo jijini Dar es salaam mara baada ya kufanyika kwa kikao cha Halmashauri ya jiji, kilichojumuisha wabunge na madiwani kwaajili ya kujadili mipango kazi ya jiji hilo.

Amsema kuwa kwa sasa wananchi wanatakiwa watambue kuwa barabara zote haziko chini ya halmashauri hivyo, kimeundwa chombo kingine ambacho kitakuwa maalum kwaajili ya kushughulikia barabara.

Hata hivyo ameonyesha wasi wasi wake juu ya chombo hicho, kwa kusema hakitaweza kuwajibishwa na baraza la madini kama kitatenda ndivyo sivyo.

 

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Serikali kuunga mkono juhudi za Taasisi mbali mbali.

Rais wa Zanzibar Dkt Hussein Mwinyi, amesema serikaliitaendelea kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Taasisi yaZanzibar Maisha Bora Foundation,pamoja na

Read More...

DKT. KIRUSWA AZINDUA MFUMO WA USHIRIKISHWAJI WA WATANZANIA KATIKA SEKTA YA MADINI

Watanzania waendelea kunufaika Sekta ya Madini, ajira 15,341 zamwagwa, manunuzi ya ndani ya nchi yafikia Dola za Marekani bilioni

Read More...

MAFURIKO YAUWA 190 MALAWI

Takriban watu 190 sasa wamethibitishwa kufariki nchini Malawi baada ya Dhoruba ya Mafuriko ya Tropiki Freddy kulikumba eneo

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu