Halmashauri zimenyang’anywa mamlaka za kutengeneza barabara-Mdee.

In Kitaifa

Mbunge Jimbo la Kawe lililopo jijini Dar es salaam Halima Mdee, amesema halmashauri zote zimenyang’anywa mamlaka ya kutengeneza barabara nchini, hivyo wananchi wanatakiwa kulifahamu hilo.

Ameyasema hayo jijini Dar es salaam mara baada ya kufanyika kwa kikao cha Halmashauri ya jiji, kilichojumuisha wabunge na madiwani kwaajili ya kujadili mipango kazi ya jiji hilo.

Amsema kuwa kwa sasa wananchi wanatakiwa watambue kuwa barabara zote haziko chini ya halmashauri hivyo, kimeundwa chombo kingine ambacho kitakuwa maalum kwaajili ya kushughulikia barabara.

Hata hivyo ameonyesha wasi wasi wake juu ya chombo hicho, kwa kusema hakitaweza kuwajibishwa na baraza la madini kama kitatenda ndivyo sivyo.

 

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

NACTIVET YASIMAMISHA MAFUNZO CHUO CHA MBEYA TRAINING..DC MALISA AAGIZA KUFANYIWA UHAKIKI VYUO VYOTE WILAYA YA MBEYA

Wazazi Wanafunzi na wahitimu wa chuo cha Mbeya training wameiomba serikali iwasaidie kurudishiwa stahiki zao mara baada ya kubainika

Read More...

TETESI ZA SOKA ULAYA LEO JUMANNE NOVEMBA 7, 2023

Manchester United na Newcastle United zote zinamfuatilia mshambuliaji wa Lyon Mfaransa Rayan Cherki, 20, ambaye mkataba wake unamalizika Juni

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu