Harbinder Sethi, Rugemarila hadi 31 agosti 2017 Mahakamani.

In Kitaifa

 

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, leo imeahirisha kesi ya kutakatisha fedha inayomkabili Mmiliki wa Kampuni ya kufua umeme ya IPTL Harbinder Singh Sethi, na James Rugemarila hadi August 31 2017 kutokana na upelelezi wa kesi hiyo kutokamilika.

Mwendesha Mashtaka wa TAKUKURU Leornad Swai amemueleza Hakimu Mkazi Mfawidhi Cyprian Mkeha kuwa, upelelezi wa kesi hiyo haujakamilika, hivyo anaomba iahirishwe hadi tarehe nyingine.

Baada ya maelezo hayo ya wakili wa Swai, Hakimu Mkeha aliahirisha kesi hiyo hadi August 31 2017 ambapo washtakiwa wamerudishwa rumande.

Harbinder Singh Sethi pamoja na Mfanyabiashara James Rugemarila, kwa pamoja wanakabiliwa na mashtaka 12 yakiwemo ya kutakatisha fedha na kuisababisha Serikali hasara ya zaidi ya Bilioni 3.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Watu 193 wawekwa karantini kisa virusi vya Marburg.

Mganga Mkuu wa serikali Dkt Tumaini Nagu,amesema hakuna kisa kipya kilichoongezeka kuhusu vifo vilivyosababishwa na virusi vya Ugonjwa wa

Read More...

SERIKALI YAFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KATIKA HUDUMA ZA HALI YA HEWA

SERIKALI kupitia Wizara ya Ujenzi na uchukuzi,isemema kuwa katika kuhakikisha wanakuwa na Taarifa za uhakika za Hali ya hewa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu