Hashim Rungwe ashauri kuboreshwa kwa mahitaji ya msingi ya maisha ya wananchi ikiwemo chakula na upatikanaji wa maji safi na salama

In Kitaifa

Wakati serikali ikiendelea kuboresha miundo mbinu ya barabara, reli na madaraja mwenyekiti taifa wa chama cha ukombozi wa umma CHAUMMA Hashim Rungwe ameshauri kuboreshwa mahitaji ya msingi ya maisha ya wananchi ikiwemo chakula na upatikanaji wa maji safi na salama.

Hashim Rungwe ameyasema hayo jijini Dar es Salaam wakati akiongea na wanahabari ofisini kwake ambapo amesema uchumi uliopo kwasasa unatia mashaka kwani mwananchi wa kawaida anapokuwa na njaa sirahisi akatumika ipasavyo.

Rungwe ameongeza kuwa ili kuliongoza taifa hakuna budi kuwaboreshea maisha wananchi wa hali ya chini na siku washindisha njaa kutokana na gharama za maisha kuwa juu.
Kiongozi huyo pia ameiomba serikali kuachana na maswala madogomadogoya na yotokea hapa nchini na badala yake kuelekeza nguvu zake katika kukuza uchumi wa taifa.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

NACTIVET YASIMAMISHA MAFUNZO CHUO CHA MBEYA TRAINING..DC MALISA AAGIZA KUFANYIWA UHAKIKI VYUO VYOTE WILAYA YA MBEYA

Wazazi Wanafunzi na wahitimu wa chuo cha Mbeya training wameiomba serikali iwasaidie kurudishiwa stahiki zao mara baada ya kubainika

Read More...

TETESI ZA SOKA ULAYA LEO JUMANNE NOVEMBA 7, 2023

Manchester United na Newcastle United zote zinamfuatilia mshambuliaji wa Lyon Mfaransa Rayan Cherki, 20, ambaye mkataba wake unamalizika Juni

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu