Hashim Rungwe ashauri kuboreshwa kwa mahitaji ya msingi ya maisha ya wananchi ikiwemo chakula na upatikanaji wa maji safi na salama

In Kitaifa

Wakati serikali ikiendelea kuboresha miundo mbinu ya barabara, reli na madaraja mwenyekiti taifa wa chama cha ukombozi wa umma CHAUMMA Hashim Rungwe ameshauri kuboreshwa mahitaji ya msingi ya maisha ya wananchi ikiwemo chakula na upatikanaji wa maji safi na salama.

Hashim Rungwe ameyasema hayo jijini Dar es Salaam wakati akiongea na wanahabari ofisini kwake ambapo amesema uchumi uliopo kwasasa unatia mashaka kwani mwananchi wa kawaida anapokuwa na njaa sirahisi akatumika ipasavyo.

Rungwe ameongeza kuwa ili kuliongoza taifa hakuna budi kuwaboreshea maisha wananchi wa hali ya chini na siku washindisha njaa kutokana na gharama za maisha kuwa juu.
Kiongozi huyo pia ameiomba serikali kuachana na maswala madogomadogoya na yotokea hapa nchini na badala yake kuelekeza nguvu zake katika kukuza uchumi wa taifa.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Maagizo ya wizara kuhusu mfuko wa maendeleo ya kilimo.

Naibu Waziri Wa Kilimo Anthony Mavunde, amesema serikaliimeanza kutekeleza uanzishwaji wa mfuko wa maendeleo yakilimo utakaosaidia kukabiliana na changamoto

Read More...

TANZIA: WAZIRI MSTAAFU WA KILIMO AFARIKI DUNIA

Aliyewahi kuwa mbunge wa jimbo la Musoma Vijijini na Waziri wa Kilimo na Mifugo Mhe. Herman Kirigini Amefariki Dunia. Akithibitisha

Read More...

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Professor Makame Mbarawaameliomba Bunge kumuidhinishia kiasi cha Sh Trilioni 3.6ikiwa ni makadirio ya mapato

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu