Haye ataka kukipiga kwa mara nyingine na Bellew.

In Kimataifa, Michezo

 

Bondia David Haye amesema yupo tiyari kurudia mpambano na Tony Bellew.

Mpambano wao wa raundi 11 uliishia raundi ya 6 walipokutana mwezi Machi.

Haye alipigwa ndani ya raundi ya sita kwa makonde ya mfululizo yaliyompeleka chini.

Ameandika katika ukurasa wake wa Twitter kwamba” imechukua miezi kadhaa ya majadiliano na sasa ni muda wa kwenda tena ulingoni”

Hakuna tarehe wala sehemu kamili mpambano huo utakapofanyika, lakini baadhi ya taarifa zinasema utafanyika Disemba 17, kwenye uwanja wa London O2.

Haye alifanyiwa upasuaji baada ya kuchapwa vibaya na Bellew mzaliwa wa Liverpool na tokea kupona kwake amekuwa akifanya mazoezi na walimu wake Shane McGuigan.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Watu 193 wawekwa karantini kisa virusi vya Marburg.

Mganga Mkuu wa serikali Dkt Tumaini Nagu,amesema hakuna kisa kipya kilichoongezeka kuhusu vifo vilivyosababishwa na virusi vya Ugonjwa wa

Read More...

SERIKALI YAFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KATIKA HUDUMA ZA HALI YA HEWA

SERIKALI kupitia Wizara ya Ujenzi na uchukuzi,isemema kuwa katika kuhakikisha wanakuwa na Taarifa za uhakika za Hali ya hewa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu