Heshima za mwisho zatolewa katika mazishi ya Dr.Macha.

In Kitaifa

viongozi mbalimbali wametoa heshima za mwisho katika mazishi ya Marehemu Dr.Elly Marko Macha ambaye amezikwa kirua vunjo kijiji cha uparo kitongoji cha iwaleni.

 

Waziri Mkuu mstaafu na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema Taifa Mhe.Edward Lowassa akisalimiana na Kiongozi wa Kambi ya upinzani Bungeni na Mwenyekiti wa chama hicho Mhe.Freeman Mbowe mara baada yakukutana katika mazishi ya Dr.Macha.

Naibu spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Tulia Ackson akitoa heshima za mwisho katika mazishi ya Marehemu Dr.Macha.

Mhe.Edward Lowassa akisalimiana na Angela Kairuki waziri ofisi ya Rais utumishi na utawala bora mara baada yakukutana katika mazishi ya Dr.Macha.

Askari wa Bunge wakiwa wamebeba mwili wa Marehemu Dr.Elly Macha.

Tulia Ackson Akisalimiana na Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa.

Katibu Mkuu wa Chadema Taifa Mhe.Vincent Mashinji akiteta jambo na Waziri Mkuu Mstaafu na Mjumbe wa kamati Kuu ya Chadema Taifa Mhe.Edward Lowassa.

Kiongozi wa Kambi ya upinzani Bungeni akitoa heshima za mwisho katika mazishi ya marehemu Dr.Mcha.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Serikali kuunga mkono juhudi za Taasisi mbali mbali.

Rais wa Zanzibar Dkt Hussein Mwinyi, amesema serikaliitaendelea kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Taasisi yaZanzibar Maisha Bora Foundation,pamoja na

Read More...

DKT. KIRUSWA AZINDUA MFUMO WA USHIRIKISHWAJI WA WATANZANIA KATIKA SEKTA YA MADINI

Watanzania waendelea kunufaika Sekta ya Madini, ajira 15,341 zamwagwa, manunuzi ya ndani ya nchi yafikia Dola za Marekani bilioni

Read More...

MAFURIKO YAUWA 190 MALAWI

Takriban watu 190 sasa wamethibitishwa kufariki nchini Malawi baada ya Dhoruba ya Mafuriko ya Tropiki Freddy kulikumba eneo

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu