Heshima za mwisho zatolewa katika mazishi ya Dr.Macha.

In Kitaifa

viongozi mbalimbali wametoa heshima za mwisho katika mazishi ya Marehemu Dr.Elly Marko Macha ambaye amezikwa kirua vunjo kijiji cha uparo kitongoji cha iwaleni.

 

Waziri Mkuu mstaafu na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema Taifa Mhe.Edward Lowassa akisalimiana na Kiongozi wa Kambi ya upinzani Bungeni na Mwenyekiti wa chama hicho Mhe.Freeman Mbowe mara baada yakukutana katika mazishi ya Dr.Macha.

Naibu spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Tulia Ackson akitoa heshima za mwisho katika mazishi ya Marehemu Dr.Macha.

Mhe.Edward Lowassa akisalimiana na Angela Kairuki waziri ofisi ya Rais utumishi na utawala bora mara baada yakukutana katika mazishi ya Dr.Macha.

Askari wa Bunge wakiwa wamebeba mwili wa Marehemu Dr.Elly Macha.

Tulia Ackson Akisalimiana na Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa.

Katibu Mkuu wa Chadema Taifa Mhe.Vincent Mashinji akiteta jambo na Waziri Mkuu Mstaafu na Mjumbe wa kamati Kuu ya Chadema Taifa Mhe.Edward Lowassa.

Kiongozi wa Kambi ya upinzani Bungeni akitoa heshima za mwisho katika mazishi ya marehemu Dr.Mcha.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu