Hospitali kumi na sita nchini Uingereza zimeathirika kutokana na shambulio la programu ya virusi vya kompyuta hapo jana.

In Kimataifa

Hospitali kumi na sita nchini Uingereza zimeathirika kutokana na shambulio la programu ya virusi vya kompyuta hapo jana.

Hospitali kadhaa katika jiji la London na maeneo mengine mbalimbali nchini humo zililazimika kufunga mitambo yake ya kompyuta. Virusi hivyo kimsingi vinazuia watumiaji wa kopmyuta kupata data zao hadi walipe fidia.

Hata hivyo madaktari wamesema licha ya kompyuta hizo kushambuliwa na virusi, data za wagonjwa hazikupotea.

Waziri Mkuu wa Uingereza Theresa May amesema tukio hilo ni sehemu ya shambulio kubwa lililo athiri mashirika mengine duniani kote, huku kukiwa na ripoti za mashambulizi hayo ya kompyuta katika nchi zipatazo 100 ikiwa ni pamoja na Marekani, China, Urusi, Uhispania, Italia, Taiwan na Ujerumani

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu