Hospitali kumi na sita nchini Uingereza zimeathirika kutokana na shambulio la programu ya virusi vya kompyuta hapo jana.

In Kimataifa

Hospitali kumi na sita nchini Uingereza zimeathirika kutokana na shambulio la programu ya virusi vya kompyuta hapo jana.

Hospitali kadhaa katika jiji la London na maeneo mengine mbalimbali nchini humo zililazimika kufunga mitambo yake ya kompyuta. Virusi hivyo kimsingi vinazuia watumiaji wa kopmyuta kupata data zao hadi walipe fidia.

Hata hivyo madaktari wamesema licha ya kompyuta hizo kushambuliwa na virusi, data za wagonjwa hazikupotea.

Waziri Mkuu wa Uingereza Theresa May amesema tukio hilo ni sehemu ya shambulio kubwa lililo athiri mashirika mengine duniani kote, huku kukiwa na ripoti za mashambulizi hayo ya kompyuta katika nchi zipatazo 100 ikiwa ni pamoja na Marekani, China, Urusi, Uhispania, Italia, Taiwan na Ujerumani

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu