Idara ya Uhamiaji yazindua mpango utakaoruhusu wageni wanaoishi nchini kuomba vibali kupitia mfumo wa mtandao.

In Kitaifa

Idara ya Uhamiaji, imezindua mpango utakaoruhusu wageni wanaoishi nchini, kuomba vibali kupitia mfumo wa mtandao, ambao utarahisisha upatikanaji wa huduma hiyo.
Aidha imetoa siku 90 kwa kampuni, taasisi na mashirika binafsi, kuhakiki vibali vya wageni wao kupitia mfumo huo, na kuwasilisha taarifa zao katika ofisi za uhamiaji za mikoa zilizoko katika maeneo yao endapo watabaini kuna tatizo.
Kamishna Jenerali wa Uhamiaji Dk Anna Makakala, ametangaza utaratibu huo jijini Dar es Salaam, wakati wa kuzindua mfumo huo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu