Idara ya Uhamiaji yazindua mpango utakaoruhusu wageni wanaoishi nchini kuomba vibali kupitia mfumo wa mtandao.

In Kitaifa

Idara ya Uhamiaji, imezindua mpango utakaoruhusu wageni wanaoishi nchini, kuomba vibali kupitia mfumo wa mtandao, ambao utarahisisha upatikanaji wa huduma hiyo.
Aidha imetoa siku 90 kwa kampuni, taasisi na mashirika binafsi, kuhakiki vibali vya wageni wao kupitia mfumo huo, na kuwasilisha taarifa zao katika ofisi za uhamiaji za mikoa zilizoko katika maeneo yao endapo watabaini kuna tatizo.
Kamishna Jenerali wa Uhamiaji Dk Anna Makakala, ametangaza utaratibu huo jijini Dar es Salaam, wakati wa kuzindua mfumo huo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu