Idara ya Uhamiaji yazindua mpango utakaoruhusu wageni wanaoishi nchini kuomba vibali kupitia mfumo wa mtandao.

In Kitaifa

Idara ya Uhamiaji, imezindua mpango utakaoruhusu wageni wanaoishi nchini, kuomba vibali kupitia mfumo wa mtandao, ambao utarahisisha upatikanaji wa huduma hiyo.
Aidha imetoa siku 90 kwa kampuni, taasisi na mashirika binafsi, kuhakiki vibali vya wageni wao kupitia mfumo huo, na kuwasilisha taarifa zao katika ofisi za uhamiaji za mikoa zilizoko katika maeneo yao endapo watabaini kuna tatizo.
Kamishna Jenerali wa Uhamiaji Dk Anna Makakala, ametangaza utaratibu huo jijini Dar es Salaam, wakati wa kuzindua mfumo huo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu