(IEBC) imepiga marufuku wapigapicha ndani ya vituo vya kupigia kura.

In Kimataifa

Tume Huru ya Uchaguzi nchini Kenya (IEBC) imepiga marufuku wapigapicha ndani ya vituo vya kupigia kura, pia haitaruhusiwa kujipiga picha wakati wakipiga kura.

Mwenyekiti wa tume hiyo, Wafula Chebukati, pia amepiga marufuku, wapigakura kupiga picha karatasi za kupigia kura wakionesha wamemchagua nani.

Ni waandishi wa habari pekee wenye vibali ndio watakaoruhusisiwa kupiga picha na kuandika habari za uchaguzi ifikapo siku ya uchaguzi Agosti 8, mwaka huu.

Mwenyekiti huyo alisisitiza kuwa katazo hilo limelenga kulinda haki ya mpiga kura kutunza siri yake kwa mujibu wa Sheria na kuzuia kushawishi wengine kumpigia kura kiongozi asiyemtaka.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu