(IEBC) imepiga marufuku wapigapicha ndani ya vituo vya kupigia kura.

In Kimataifa

Tume Huru ya Uchaguzi nchini Kenya (IEBC) imepiga marufuku wapigapicha ndani ya vituo vya kupigia kura, pia haitaruhusiwa kujipiga picha wakati wakipiga kura.

Mwenyekiti wa tume hiyo, Wafula Chebukati, pia amepiga marufuku, wapigakura kupiga picha karatasi za kupigia kura wakionesha wamemchagua nani.

Ni waandishi wa habari pekee wenye vibali ndio watakaoruhusisiwa kupiga picha na kuandika habari za uchaguzi ifikapo siku ya uchaguzi Agosti 8, mwaka huu.

Mwenyekiti huyo alisisitiza kuwa katazo hilo limelenga kulinda haki ya mpiga kura kutunza siri yake kwa mujibu wa Sheria na kuzuia kushawishi wengine kumpigia kura kiongozi asiyemtaka.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu