IGP Siro asema hali ya ulizi nchini ni shwari.

In Kitaifa

 

Jeshi la polisi nchini limesema kuwa, hali ya ulinzi na usalama nchini ipo shwari na wananchi wamekuwa wakitoa ushirikiano kwa jeshi hilo.

Pia limesema tayari maelekezo yametolewa kwa kamati za ulinzi na usalama katika ngazi zote za kata,wilaya na mikoa wawe wafuatiliaji kwani usalama wa nchi ni wa kila mmoja wetu.

Hayo yamesemwa mapema leo na mkuu wa jeshi la polisi nchini IGP Simon Siri.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu