IGP Siro asema hali ya ulizi nchini ni shwari.

In Kitaifa

 

Jeshi la polisi nchini limesema kuwa, hali ya ulinzi na usalama nchini ipo shwari na wananchi wamekuwa wakitoa ushirikiano kwa jeshi hilo.

Pia limesema tayari maelekezo yametolewa kwa kamati za ulinzi na usalama katika ngazi zote za kata,wilaya na mikoa wawe wafuatiliaji kwani usalama wa nchi ni wa kila mmoja wetu.

Hayo yamesemwa mapema leo na mkuu wa jeshi la polisi nchini IGP Simon Siri.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu