Irene Uwoya apata Pigo Ndikumana afariki.

In Kimataifa, Michezo

Mchezaji wa zamani wa klabu ya Amavubi ya Rwanda na Kocha msaidizi wa timu ya Ryon sports Hamad Ndikumana ‘Kataut’ amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Novemba 15, sababu za kifo chake bado azijajuloikana.

Ndikumana aliwahi kuwa mume wa muigizaji wa Bongo Movie Irene Uwoya na katika maisha ya ndoa yao walibahatika kupata mtoto mmoja wa kiume.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu