Irene Uwoya apata Pigo Ndikumana afariki.

In Kimataifa, Michezo

Mchezaji wa zamani wa klabu ya Amavubi ya Rwanda na Kocha msaidizi wa timu ya Ryon sports Hamad Ndikumana ‘Kataut’ amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Novemba 15, sababu za kifo chake bado azijajuloikana.

Ndikumana aliwahi kuwa mume wa muigizaji wa Bongo Movie Irene Uwoya na katika maisha ya ndoa yao walibahatika kupata mtoto mmoja wa kiume.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Watu 193 wawekwa karantini kisa virusi vya Marburg.

Mganga Mkuu wa serikali Dkt Tumaini Nagu,amesema hakuna kisa kipya kilichoongezeka kuhusu vifo vilivyosababishwa na virusi vya Ugonjwa wa

Read More...

SERIKALI YAFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KATIKA HUDUMA ZA HALI YA HEWA

SERIKALI kupitia Wizara ya Ujenzi na uchukuzi,isemema kuwa katika kuhakikisha wanakuwa na Taarifa za uhakika za Hali ya hewa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu