Irene Uwoya apata Pigo Ndikumana afariki.

In Kimataifa, Michezo

Mchezaji wa zamani wa klabu ya Amavubi ya Rwanda na Kocha msaidizi wa timu ya Ryon sports Hamad Ndikumana ‘Kataut’ amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Novemba 15, sababu za kifo chake bado azijajuloikana.

Ndikumana aliwahi kuwa mume wa muigizaji wa Bongo Movie Irene Uwoya na katika maisha ya ndoa yao walibahatika kupata mtoto mmoja wa kiume.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu