Jaji Mutungi atoa neno kwa wanasiasa juu ya katiba.

In Kitaifa

Ikumbukwe hivi karibu Rais Dk Samia Suluhu Hassan
alimuagiza Msajili wa vyama vya siasa nchini Jaji Francis
Mutungi,kuitisha kikao maalum cha Baraza la vyama hivyo
pamoja na kuanza mchakato wa Katiba Mpya.


Rais Samia alitoa maagizo hayo Tarehe 6 Mei 2023 Ikulu,
Chamwino Dodoma,ambapo alimemtaka Jaji Mutungi kuitisha
kikao hicho kwa lengo la kufanya tathmini ya utekelezaji
mapendekezo ya Kikosi Kazi kilichokuwa,kikiratibu maoni ya
watu kuhusu demokrasia ya Vyama vingi vya siasa nchini
Msajili wa Vyama Vya Siasa nchini Jaji Francis Mutungi
amewataka wanasiasa kutobweteka,wakidhani Rais Samia
Suluhu Hassan kawapa rungu la kusimamia mchakato wa
marekebisho ya Katiba.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

RC MBEYA AFANYA UZINDUZI ZOEZI LA UGAWAJI VITAMBULISHO VYA (NIDA)

Mkuu wa mkoa wa mbeya Mhe. Comrede Juma Zuberi Homera amefanya uzinduzi wa wa zoezi la ugawaji wa vitambulisho

Read More...

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

NACTIVET YASIMAMISHA MAFUNZO CHUO CHA MBEYA TRAINING..DC MALISA AAGIZA KUFANYIWA UHAKIKI VYUO VYOTE WILAYA YA MBEYA

Wazazi Wanafunzi na wahitimu wa chuo cha Mbeya training wameiomba serikali iwasaidie kurudishiwa stahiki zao mara baada ya kubainika

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu