Jeshi nchini Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo limesema kuwa zaidi ya watu mia tano wameuawa katika mapigano kati ya vikosi vya usalama na vile vinavyoipinga serikali tokea mwishoni mwa mwezi Machi.

In Kimataifa

Jeshi nchini Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo limesema kuwa zaidi ya watu mia tano wameuawa katika mapigano kati ya vikosi vya usalama na vile vinavyoipinga serikali tokea mwishoni mwa mwezi Machi.

Takriban wanajeshi mia nne kati ya waliouawa ni wafuasi wa Kamuina Nsapu , kundi ambalo linashambulia vitu vyote vinavyohusiana na serikali.

Wanaosalia ni wanajeshi wa serikali na polisi.

Zaidi ya watu milioni moja wameyahama makazi yao katika mkoa wa Kasai tokea kuanza kwa mapigano hayo miezi tisa iliyopita.

Zaidi ya makaburi ya pamoja 40 yamekutwa katika eneo hilo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu