Jeshi nchini Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo limesema kuwa zaidi ya watu mia tano wameuawa katika mapigano kati ya vikosi vya usalama na vile vinavyoipinga serikali tokea mwishoni mwa mwezi Machi.

In Kimataifa

Jeshi nchini Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo limesema kuwa zaidi ya watu mia tano wameuawa katika mapigano kati ya vikosi vya usalama na vile vinavyoipinga serikali tokea mwishoni mwa mwezi Machi.

Takriban wanajeshi mia nne kati ya waliouawa ni wafuasi wa Kamuina Nsapu , kundi ambalo linashambulia vitu vyote vinavyohusiana na serikali.

Wanaosalia ni wanajeshi wa serikali na polisi.

Zaidi ya watu milioni moja wameyahama makazi yao katika mkoa wa Kasai tokea kuanza kwa mapigano hayo miezi tisa iliyopita.

Zaidi ya makaburi ya pamoja 40 yamekutwa katika eneo hilo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu