JPM aagiza kujengwa uzio kulizunguka eneo la Mererani.

In Kitaifa, Uchumi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli ameamuru eneo la Mererani Block A hadi D ujengwe ukuta wenye mlango mmoja na kamera zifungwe ili kuweza kukabiliana na wizi wa madini aina ya Tanzanite.

Ameyasema hayo hii leo Septemba 20, 2017 kwenye ziara ya kikazi mkoani Manyara katika Wilaya ya Simanjiro ambapo amesema ujenzi wa ukuta huo utasaidia kuondokna na wizi madini hayo hivyo serikali itaweza kukusanya mapato yake kikamilifu.

Rais Magufuli ametoa tamko la soko la Tanzanite kuwa litakua Simanjiro na si Arusha kama ilivyozoeleka na kusema wanunuzi watatakiwa kufunga safari kuelekea Simanjiro.

Na Rais Magufuli pia kabla ya kuzindua barabara mkoani Mannyara amewaomba wananchi hao kuitumia barabara hiyo ipasavyo bila kuiharibu kwani ni ya kila mmoja na kuwaomba wale wanaendesha vyombo vya moto kasi kutofanya hivo.

Rais Magufuli kwa upande mwingine ametoa hofu wakazi wa simanjiro kuhusiana na swala la maji wamuachie yeye kwani atahusika nalo.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Serikali kuunga mkono juhudi za Taasisi mbali mbali.

Rais wa Zanzibar Dkt Hussein Mwinyi, amesema serikaliitaendelea kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Taasisi yaZanzibar Maisha Bora Foundation,pamoja na

Read More...

DKT. KIRUSWA AZINDUA MFUMO WA USHIRIKISHWAJI WA WATANZANIA KATIKA SEKTA YA MADINI

Watanzania waendelea kunufaika Sekta ya Madini, ajira 15,341 zamwagwa, manunuzi ya ndani ya nchi yafikia Dola za Marekani bilioni

Read More...

MAFURIKO YAUWA 190 MALAWI

Takriban watu 190 sasa wamethibitishwa kufariki nchini Malawi baada ya Dhoruba ya Mafuriko ya Tropiki Freddy kulikumba eneo

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu