Kamanda Mkumbo azungumzia miili ya watoto iliyoopolewa shimoni Arusha.

In Kitaifa

 

Jana miili ya watoto wawili imeopolewa katika shimo lililodaiwa kuwa ni shimo la choo eneo la Mji Mpya, katika Mtaa wa Olkerian jijini Arusha.

 

Tukio hilo lilithibitishwa na mwenyekiti wa mtaa huo uliopo Kata ya Olasiti Daudi Safari, ambapo ameeleza kutokea kwa tukio hilo la kukutwa miili ya watoto ambayo haijatambuliwa bado.

Kazi ya uopoaji miili hiyo ilitekelezwa na Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Jeshi la Polisi na Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania JWTZ.

Kufuatia tukio hilo leo kamanda wa polisi mkoa wa Arusha Charles Mkumbo, amezungumza na wanahabari na kueleza yafuatayo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Maagizo ya wizara kuhusu mfuko wa maendeleo ya kilimo.

Naibu Waziri Wa Kilimo Anthony Mavunde, amesema serikaliimeanza kutekeleza uanzishwaji wa mfuko wa maendeleo yakilimo utakaosaidia kukabiliana na changamoto

Read More...

TANZIA: WAZIRI MSTAAFU WA KILIMO AFARIKI DUNIA

Aliyewahi kuwa mbunge wa jimbo la Musoma Vijijini na Waziri wa Kilimo na Mifugo Mhe. Herman Kirigini Amefariki Dunia. Akithibitisha

Read More...

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Professor Makame Mbarawaameliomba Bunge kumuidhinishia kiasi cha Sh Trilioni 3.6ikiwa ni makadirio ya mapato

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu