Kamanda Mkumbo azungumzia miili ya watoto iliyoopolewa shimoni Arusha.

In Kitaifa

 

Jana miili ya watoto wawili imeopolewa katika shimo lililodaiwa kuwa ni shimo la choo eneo la Mji Mpya, katika Mtaa wa Olkerian jijini Arusha.

 

Tukio hilo lilithibitishwa na mwenyekiti wa mtaa huo uliopo Kata ya Olasiti Daudi Safari, ambapo ameeleza kutokea kwa tukio hilo la kukutwa miili ya watoto ambayo haijatambuliwa bado.

Kazi ya uopoaji miili hiyo ilitekelezwa na Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Jeshi la Polisi na Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania JWTZ.

Kufuatia tukio hilo leo kamanda wa polisi mkoa wa Arusha Charles Mkumbo, amezungumza na wanahabari na kueleza yafuatayo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu