Kansela wa Austria awahimza washirika wa muungano wa kihafidhina kubaki serikalini baada ya kiongozi muungano huo kujiuzulu.

In Kimataifa

  Kansela wa Austria Christian Kern amewahimiza washirika wa muungano wake wa kihafidhina kubakia serikalini baada ya kiongozi wa muungano huo kujiuzulu kwa ghafla, na kuongeza uwezekano wa kuitishwa uchaguzi wa mapema wakati chama cha siasa kali za mrengo wa kulia kikiongoza katika uchunguzi wa maoni.

Uchaguzi mpya unaweza kukipa chama kinachopiga sera za uhamiaji cha Freedom Party – FPO nafasi ya kuingia katika serikali ya kitaifa ikiwa ni chini ya mwaka mmoja baada ya mgombea wake kushindwa katika kinyang’anyiro kikali cha urais.

Naibu wa Kansela Reinhold Mittelana, kiongozi wa chama cha kihafidhina cha People’s Party – OVP alisema mapema jana kuwa anajiuzulu baada ya kushindwa kutuliza malumbano ndani ya chama na uvumi kuhusu uongozi wa usoni wa chama hicho.

Waziri wa Mambo ya Kigeni Sebastian Kurz ambaye ana umri wa miaka 30 huenda akachukua wadhifa huo.

Viongozi wa chama cha OVP watakutana Jumapili ijayo kumtafuta mrithi wa Mitterlehner

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu