Kansela wa Ujerumani Angela Merkel,ametoa wito wa kubuniwa mkakati mpya wa maendeleo barani Afrika.

In Kimataifa

Kansela wa Ujerumani Angela Merkel,ametoa wito wa kubuniwa mkakati mpya wa maendeleo barani Afrika.

Amesema mataifa makubwa yalioendelea kiviwanda yanapaswa kuwa tayari zaidi kupeleka silaha kuyasaidia mataifa ya Kiafrika yanayopambana dhidi ya makundi ya wanamgambo.

Merkel pia ameisifu ujasiri wa mataifa ya Afrika ambayo yanashiriki katika mapambano dhidi ya wanamgambo wa Kiislamu nchini Mali na mataifa jirani.

Ameongeza kuwa Ujerumani itaunga mkono juhudi za Ufaransa kulishinikiza baraza la usalama la Umoja wa Mataifa kuidhinisha kikosi cha Afrika Magharibi kupambana na ugaidi na usafirishaji haramu wa binadamu katika eneo la Sahel.

Kiongozi huyo wa Ujerumani pia ametangaza mipango ya mapatano kati ya kundi la mataifa ya G20 na bara la Afrika, ambayo yanaondokana na mfumo wa zamani wa misaada ya kimaendeleo na badala yake kujikita katika fursa za ushirikiano na mataifa ya Afrika, ambayo mengi yanashuhudia viwango vikubwa vya ukuaji wa kiuchumi.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu