Kanye west aeleza tukio la kuvamiwa kwa mkewe.

In Burudani

Kim Kardashian hatowezakusahau tukio la kuvamiwa mjini Paris kaika tukio la mwezi Oktoba 2016. Kanye West amefunguka kwa mara ya kwanza kuhusu tukio hilo.

Akiongea na mtangazaji Charlamagne, Rapper huyo amesema kuwa alimfuata Kim mjini humo kwa ajili ya kumlinda na kuongeza kua watu walikuwa wamewepanga mikakati ya kufanya tukio hilo kwa muda mrefu.

“Hali ya mke wangu Paris na mambo yote ya hisia ya kuwa na wasiwasi, hisia kama vile unaweza kufanya nini? Nilikwenda Paris kwa safari hiyo ili kumlinda, si kumlinda kimwili, lakini nilikwenda kumsaidia tu kwa kumuangalia,” amesema Kanye.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu