Katambi afunga maonesho ya pili ya Elimu ya ufundi.

In Kitaifa

Naibu waziri wa kazi,Ajira,Vijana na wenye ulemavu Patrobas
Katambi, leo amefunga maonyesho ya pili ya elimu ya ufundi na
mafunzo ya ufundi stadi yaliyofanyika katika viwanja vya Sherk
Amri Abeid jijini Arusha.


Akizungumza katika viwanja vya maonyesho hayo,licha ya
mengi aliyoyaongea naibu waziri Katambi amesema serikali
itaendelea kuweka mazingira rafiki kwa vijana kujiajiri.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Maagizo ya wizara kuhusu mfuko wa maendeleo ya kilimo.

Naibu Waziri Wa Kilimo Anthony Mavunde, amesema serikaliimeanza kutekeleza uanzishwaji wa mfuko wa maendeleo yakilimo utakaosaidia kukabiliana na changamoto

Read More...

TANZIA: WAZIRI MSTAAFU WA KILIMO AFARIKI DUNIA

Aliyewahi kuwa mbunge wa jimbo la Musoma Vijijini na Waziri wa Kilimo na Mifugo Mhe. Herman Kirigini Amefariki Dunia. Akithibitisha

Read More...

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Professor Makame Mbarawaameliomba Bunge kumuidhinishia kiasi cha Sh Trilioni 3.6ikiwa ni makadirio ya mapato

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu