Katekista atuhumiwa kumbaka mtoto wa miaka nane.

In Kitaifa

Jeshi la Polisi mkoani Geita linamshikilia Athanas Rugambwa
Miaka 62 mkazi wa Muganza wilayani Chato mkoani Geita,kwa
tuhuma za kumbaka mtoto wa miaka nane mwanafunzi wa
darasa la tatu shule ya msingi Katema.


Akitoa taarifa kwa vyombo vya habari leo Alhamis Septemba
15, 2022 Kamanda wa Polisi mkoani humo Henry Mwaibambe,

amesema mtuhumiwa ni Katekista na alikua akimfundisha mtoto
huyo masomo ya dini.


Mwaibambe amesema mtuhumiwa huyo alimvizia mtoto akiwa
kwenye mafundisho ya dini kanisani na kumuita ofisini kwake
kisha kumbaka.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

NACTIVET YASIMAMISHA MAFUNZO CHUO CHA MBEYA TRAINING..DC MALISA AAGIZA KUFANYIWA UHAKIKI VYUO VYOTE WILAYA YA MBEYA

Wazazi Wanafunzi na wahitimu wa chuo cha Mbeya training wameiomba serikali iwasaidie kurudishiwa stahiki zao mara baada ya kubainika

Read More...

TETESI ZA SOKA ULAYA LEO JUMANNE NOVEMBA 7, 2023

Manchester United na Newcastle United zote zinamfuatilia mshambuliaji wa Lyon Mfaransa Rayan Cherki, 20, ambaye mkataba wake unamalizika Juni

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu