Kenya kuadhimisha siku ya kimataifa ya idadi ya watu duniani.

In Kimataifa
Kenya inaungana na nchi nyingine duniani kuadhimisha siku ya kimataifa ya idadi ya watu duniani.
Mwaka 1989, shirika la mipango ya maendeleo la umoja wa Mataifa lilipendekeza tarehe 11 Julai kila mwaka kuwa siku ya idadi ya watu.
Siku hii hutumiwa kufahamu idadi ya watu duniani, na takwimu hizo zikitumiwa kupanga mikakati ya ustawi wa watu duniani kote.
Kenya inaadhimisha siku hiyo, huku idadi ya watu mjini Nairobi ikiendelea kuongezeka. Jiji la Nairobi kwa sasa lina wakazi zaidi ya milioni 3.5.
Watu ambao wametoka sehemu mbalimbali za mikoani na vijijini kutafuta fursa, jambo linalochangia kuongezeka kwa watu mijini.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu