Kenya kuadhimisha siku ya kimataifa ya idadi ya watu duniani.

In Kimataifa
Kenya inaungana na nchi nyingine duniani kuadhimisha siku ya kimataifa ya idadi ya watu duniani.
Mwaka 1989, shirika la mipango ya maendeleo la umoja wa Mataifa lilipendekeza tarehe 11 Julai kila mwaka kuwa siku ya idadi ya watu.
Siku hii hutumiwa kufahamu idadi ya watu duniani, na takwimu hizo zikitumiwa kupanga mikakati ya ustawi wa watu duniani kote.
Kenya inaadhimisha siku hiyo, huku idadi ya watu mjini Nairobi ikiendelea kuongezeka. Jiji la Nairobi kwa sasa lina wakazi zaidi ya milioni 3.5.
Watu ambao wametoka sehemu mbalimbali za mikoani na vijijini kutafuta fursa, jambo linalochangia kuongezeka kwa watu mijini.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu