Kenya yaadhimisha sikukuu ya Jamhuri.

In Kimataifa

Kwa mara ya kwanza tarehe 12 Disemba sherehe za maadhimisho ya Kenya kulijipatia uhuru, zimefanyika katika uwanja wa Kimataifa wa Michezo wa Moi Kasarani.

Maadhimisho hayo ya 54 tangu Kenya ilipojipatia Uhuru wake mwaka 1963, yameongozwa na Rais Uhuru Kenyatta.

Sherehe hizo zilikuwa na utumbuizaji wa kila aina, zikiwemo nyimbo za kitamaduni na dini, michezo ya kuigiza, mchezo wa kwata, na maonyesho ya ndege za kijeshi, pamoja na gwaride maalum ya vikosi vyote vya usalama.

Antenna tumeinasa sehemu ya hotuba ya Rais Uhuru Kenyata, aliyoitoa mapema leo katika sherehe hizo

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu