Kenya yaadhimisha sikukuu ya Jamhuri.

In Kimataifa

Kwa mara ya kwanza tarehe 12 Disemba sherehe za maadhimisho ya Kenya kulijipatia uhuru, zimefanyika katika uwanja wa Kimataifa wa Michezo wa Moi Kasarani.

Maadhimisho hayo ya 54 tangu Kenya ilipojipatia Uhuru wake mwaka 1963, yameongozwa na Rais Uhuru Kenyatta.

Sherehe hizo zilikuwa na utumbuizaji wa kila aina, zikiwemo nyimbo za kitamaduni na dini, michezo ya kuigiza, mchezo wa kwata, na maonyesho ya ndege za kijeshi, pamoja na gwaride maalum ya vikosi vyote vya usalama.

Antenna tumeinasa sehemu ya hotuba ya Rais Uhuru Kenyata, aliyoitoa mapema leo katika sherehe hizo

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Watu 193 wawekwa karantini kisa virusi vya Marburg.

Mganga Mkuu wa serikali Dkt Tumaini Nagu,amesema hakuna kisa kipya kilichoongezeka kuhusu vifo vilivyosababishwa na virusi vya Ugonjwa wa

Read More...

SERIKALI YAFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KATIKA HUDUMA ZA HALI YA HEWA

SERIKALI kupitia Wizara ya Ujenzi na uchukuzi,isemema kuwa katika kuhakikisha wanakuwa na Taarifa za uhakika za Hali ya hewa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu