Kenya yaandaa mkakati wa usalama utakaotumika wakati wa kampeni na uchaguzi.

In Kimataifa

Kenya imeandaa mkakati wa usalama, ambao utatumika wakati wa kampeni na uchaguzi.Mkakati huo utajumuisha maafisa laki 1 na elfu 80, watakaopata mafunzo kabla ya kufanyika uchaguzi mkuu Agosti 8.
Imeelezwa kuwa kupitia mpango huo, utawawezesha Wakenya kushiriki katika uchaguzi, katika njia inayodumisha umoja wa nchi.
Maafisa watakuwepo kulinda usalama, kuzuia vitendo vyovyote vya uvunjifu wa amani au visa vyovyote vya kuzua vurugu.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

RC MBEYA AFANYA UZINDUZI ZOEZI LA UGAWAJI VITAMBULISHO VYA (NIDA)

Mkuu wa mkoa wa mbeya Mhe. Comrede Juma Zuberi Homera amefanya uzinduzi wa wa zoezi la ugawaji wa vitambulisho

Read More...

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

NACTIVET YASIMAMISHA MAFUNZO CHUO CHA MBEYA TRAINING..DC MALISA AAGIZA KUFANYIWA UHAKIKI VYUO VYOTE WILAYA YA MBEYA

Wazazi Wanafunzi na wahitimu wa chuo cha Mbeya training wameiomba serikali iwasaidie kurudishiwa stahiki zao mara baada ya kubainika

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu