Kenyata asema hana masharti kwa IEBC.

In Kimataifa, Siasa

Jana Rais Uhuru Kenyatta amekutana na mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi nchini humo IEBC, huku uchaguzi wa marudio ambao umekumbwa na utata ukiendelea kukaribia.

Mwenyekiti huyo wa tume alikuwa amekutana na mgombea wa upinzani Bw Raila Odinga Ijumaa iliyopita.

Taarifa kutoka ikulu imesema Rais Kenyatta amemwambia mwenyekiti huyo kwamba, yuko tayari kwa uchaguzi huo na hana masharti yoyote kwa tume hiyo.

Wakati Kenyata akisisitiza uchaguzi huo upo, upande wa NASA, umesimamia msimamo wao kwa kusema kuwa hakuna uchaguuzi utakaofanyika.

 

 

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu