Baadaye, wimbo wa Jumuiya ya EAC umechezwa na kisha wimbo wa taifa la Kenya kuhitimisha sherehe za leo.
Wageni wameanza kuondoka uwanjani, wakianza na viongozi wa nchi.
Baadaye, wimbo wa Jumuiya ya EAC umechezwa na kisha wimbo wa taifa la Kenya kuhitimisha sherehe za leo.
Wageni wameanza kuondoka uwanjani, wakianza na viongozi wa nchi.