Kero ya maji Muleba yatatuliwa

In Afya, Kitaifa

Hospitali ya Kagondo wilayani Muleba mkoani Kagera, imepata msaada wa visima vya maji kutoka Rotary Club ya Bukoba kwa kushirikiana na Rotary Club ya America, kwa ajili ya kupunguza changamoto ya maji inayosababisha huduma nyingine kutotekelezeka.

Akiongea kwa niaba ya Rais wa Rotary Club ya America, Rais wa Rotary Club ya Bukoba Dr Eunice Ntangeki, amesema kikundi chao kwa kushirikiana na wenzao wa America, waliomba msaada kwa wafadhili na kufanikiwa kupata Milioni 220 kwa ajili ya ujenzi wa Visima 13 vya kuvunia maji ya mvua, ambavyo vitakuwa na ujazo wa Lita 650,000.

Baada ya kuweka Jiwe la Msingi katika mradi huo Mkuu wa Wilaya Muleba Mhandisi Richard Luyango, amewasihi wananachi ambao watanufaika na mradi huo, kuhakikisha wanautunza vizuri mara utakapoanza kazi, ili uweze kudumu kwa muda mrefu na kumaliza changamoto zao

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

NACTIVET YASIMAMISHA MAFUNZO CHUO CHA MBEYA TRAINING..DC MALISA AAGIZA KUFANYIWA UHAKIKI VYUO VYOTE WILAYA YA MBEYA

Wazazi Wanafunzi na wahitimu wa chuo cha Mbeya training wameiomba serikali iwasaidie kurudishiwa stahiki zao mara baada ya kubainika

Read More...

TETESI ZA SOKA ULAYA LEO JUMANNE NOVEMBA 7, 2023

Manchester United na Newcastle United zote zinamfuatilia mshambuliaji wa Lyon Mfaransa Rayan Cherki, 20, ambaye mkataba wake unamalizika Juni

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu