Kero ya maji Muleba yatatuliwa

In Afya, Kitaifa

Hospitali ya Kagondo wilayani Muleba mkoani Kagera, imepata msaada wa visima vya maji kutoka Rotary Club ya Bukoba kwa kushirikiana na Rotary Club ya America, kwa ajili ya kupunguza changamoto ya maji inayosababisha huduma nyingine kutotekelezeka.

Akiongea kwa niaba ya Rais wa Rotary Club ya America, Rais wa Rotary Club ya Bukoba Dr Eunice Ntangeki, amesema kikundi chao kwa kushirikiana na wenzao wa America, waliomba msaada kwa wafadhili na kufanikiwa kupata Milioni 220 kwa ajili ya ujenzi wa Visima 13 vya kuvunia maji ya mvua, ambavyo vitakuwa na ujazo wa Lita 650,000.

Baada ya kuweka Jiwe la Msingi katika mradi huo Mkuu wa Wilaya Muleba Mhandisi Richard Luyango, amewasihi wananachi ambao watanufaika na mradi huo, kuhakikisha wanautunza vizuri mara utakapoanza kazi, ili uweze kudumu kwa muda mrefu na kumaliza changamoto zao

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu