Kero za Muungano zapatiwa ufumbuzi.

In Kitaifa

Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano Luhaga Mpina, amesema Kero za Muungano, ambazo zimekuwa ni tatizo kubwa kwa wananchi zimepatiwa ufumbuzi kwa kiasi kikubwa.

Ameyasema hayo bungeni mjini Dodoma wakati akijibu hoja mbali mbali kutoka kwa wabunge.

Amesema kuwa katika kipindi cha mwaka 2006 hadi 2007 hoja 15 zilizowasilishwa kutafutiwa ufumbuzi kati ya hizo hoja 11 ,zimepatiwa ufumbuzi.

Aidha, ametaja kero hizo kuwa ni pamoja na utekelezaji wa Sheria ya Tume za Haki za Binadamu na utawala Bora, Uvuvi kwenye ukanda wa bahari Kuu, ushiriki wa Zanzibar kwenye Jumuiya ya Afrika Mashariki.

Hata hivyo, amezitaja kero zingine zilizopatiwa ufumbuzi ni ushiriki wa Zanzibar na Kampuni za Kimataifa, suala la ajira kwa raia wa Zanzibar, utafutaji na uchimbaji  wa mafuta na gesi asilia.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu