Kesi ya Ahmoud Arbery imepata muendesha mashtaka mpya

Kesi ya Ahmoud Arbery imepata muendesha mashtaka mpya ambae ni
mwanamama wamwenye asili ya kiafrika Joyette Holmes , Ahmoud rbery
ambae alipigwa risasi hadi kufa na watu wawili ambao ni mtu na baba yake
Greg McMichael(64) na Travis McMicheal(34) ambao kesi hii ilikua
ikizungushwa kwa muda wa miezi miwili na nusu nakusababisha watu
kuandamana, na wasanii mbali mbali kulalamika hadi Roc nation mwanzoni
mwa wiki hiiwaliandika barua ya wazi wakiomba kubadilishwa kwa muendesha
mashtaka aliyekuwepo kwani alikua na uhusiano wa kikazi na mmoja wa
wauwaji wa Ahmoud, na ombi hili kukubalika na muendesha mashtaka mpya
amepatika.


Lakini pia mama yake mzazi Ahmoud amesema kwamba wauwaji wa mwanae
wanastahili kupewa adhabu ya kunyongwa hadi kufa. Alisema kupitia interview
na TMZ alisema kwamba anatambua kwamba jimbo la Georgia lina adhabu
hiyo na kama walivyomuua mwanae wanastahili kupata adhabu ya kifo vilevile.

Exit mobile version