Kihamia awakilisha Jiji la Arusha Belgium.

In Kitaifa

WADAU mbalimbali  wa  Maendeleo  wamekutana katika Mkutano wa Maendeleo endelevu kwa viongozi wa  Majiji  kwa nchi za Afrika  Nchini Belgium ,ambapo  Tanzania imewakilishwa  na  Jiji la Arusha  chini ya Mkurugenzi  Athumani  Kihamia na ofisi ya  Jumuiya ya Ulaya Tanzania chini ya Afisa utekelezaji Anna Constantin  kutoka  Italy

Akizungumza na  redio 5 Mkurugenzi wa Jiji la Arusha  Athman Kihamia amesema  lengo  la Mkutano huo ni kuziwezesha  Serikali za Mitaa katika  Maendeleo, hasa  kilimo cha  Mazao  ya chakula.

Kihamia amesema mazao Mengi yamekuwa yakikosa namna bora ya uhifadhi haswa mazao ya Chakula hivyo kupitia Mkutano huo utawawezesha kutambua namna bora ya Utunzaji  ili yapate soko yakiwa yamechakatwa ili kuleta tija zaidi.

Aidha amesema kuwa nchi ya Tanzania inapendeza sana kwa kuwa,na  Sera nzuri na bora iliyopo Ya  Viwanda hasa vya Wakulima Wadogo.

 

Mkutano huo umeshirikisha mataifa  43 kutoka barani Afrika vikiwemo Vyuo vikuu mbalimbali vya kilimo sayansi na teknolojia vya Madrid,Palacky,Hague,Toulouse Capitole,  Antwelp  na  taasisi na mashirika mbalimbali ya maendeleo kama UNDP,EEAS, Kamisheni ya ulaya, wabunge wa jumuiya ya ulaya.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu