Kikwete asikitishwa na uzushi unaozagaa mitandaoni…

In Kitaifa

Rais mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa amesikitishwa na taarifa za uzushi zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii za kumhusu yeye akionekana kujibu moja ya kauli ya Rais wa sasa Dkt. John Pombe Magufuli kitu ambacho si kweli.
Kikwete ametumia mtandao wake wa twitter kuonyesha masikitiko yake hayo kwa watu wanaofanya jambo hilo huku akionyesha kusikitishwa zaidi na mapokeo ya watu ambao wengi wao wameamini hiyo kauli wakidhani huenda ni kweli imetoka kwake kitu ambacho si cha kweli
“Nasikitishwa sana na uvumi huu unaosambazwa juu yangu. Inasikitisha sana. Inasikitisha zaidi kuwa wako watu timamu wanaoamini uzushi huu,”ameandika rais mstaafu Jakaya Kikwete kwenye ukurasa wake wa twitter
Hii si mara ya kwanza kwa kiongozi huyo mstaafu kuzushiwa uzushi na watu kupitia katika mitandao ya kijamii ambapo mara kwa mara amekuwa akiwasihi wanaofanya hivyo kuacha mara moja

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu