Kikwete asikitishwa na uzushi unaozagaa mitandaoni…

In Kitaifa

Rais mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa amesikitishwa na taarifa za uzushi zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii za kumhusu yeye akionekana kujibu moja ya kauli ya Rais wa sasa Dkt. John Pombe Magufuli kitu ambacho si kweli.
Kikwete ametumia mtandao wake wa twitter kuonyesha masikitiko yake hayo kwa watu wanaofanya jambo hilo huku akionyesha kusikitishwa zaidi na mapokeo ya watu ambao wengi wao wameamini hiyo kauli wakidhani huenda ni kweli imetoka kwake kitu ambacho si cha kweli
“Nasikitishwa sana na uvumi huu unaosambazwa juu yangu. Inasikitisha sana. Inasikitisha zaidi kuwa wako watu timamu wanaoamini uzushi huu,”ameandika rais mstaafu Jakaya Kikwete kwenye ukurasa wake wa twitter
Hii si mara ya kwanza kwa kiongozi huyo mstaafu kuzushiwa uzushi na watu kupitia katika mitandao ya kijamii ambapo mara kwa mara amekuwa akiwasihi wanaofanya hivyo kuacha mara moja

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Watu 193 wawekwa karantini kisa virusi vya Marburg.

Mganga Mkuu wa serikali Dkt Tumaini Nagu,amesema hakuna kisa kipya kilichoongezeka kuhusu vifo vilivyosababishwa na virusi vya Ugonjwa wa

Read More...

SERIKALI YAFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KATIKA HUDUMA ZA HALI YA HEWA

SERIKALI kupitia Wizara ya Ujenzi na uchukuzi,isemema kuwa katika kuhakikisha wanakuwa na Taarifa za uhakika za Hali ya hewa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu