Kingunge ashangazwa na uvumi kuhusu hali yake.

In Kitaifa

Mwanasiasa mkongwe nchini Tanzania Kingunge Ngombale Mwiru, amewashangaa wanaoeneza taarifa kuwa yu mgonjwa na amelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili.

Leo akiwa nyumbani kwake Makumbusho jijini Dar es Salaam amesema yuko vizuri na hana tatizo lolote.

Amesema anaendelea kudunda kama kawaida, na kwamba leo asubuhi alifanya mazoezi ya kutembea kwa saa moja ili kuuweka sawa mwili wake.

Kingunge ameshauri kupuuzwa kwa taarifa hizo za mitandaoni, zinazosambazwa kueleza kuwa yu mgonjwa.

Tangu jana Alhamisi Novemba 9,2017 kwenye mitandao ya kijamii imesambazwa picha ikimuonyesha Kingunge akiwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, akijuliwa hali na Rais mstaafu Jakaya Kikwete na mkewe Salma.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Serikali kuunga mkono juhudi za Taasisi mbali mbali.

Rais wa Zanzibar Dkt Hussein Mwinyi, amesema serikaliitaendelea kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Taasisi yaZanzibar Maisha Bora Foundation,pamoja na

Read More...

DKT. KIRUSWA AZINDUA MFUMO WA USHIRIKISHWAJI WA WATANZANIA KATIKA SEKTA YA MADINI

Watanzania waendelea kunufaika Sekta ya Madini, ajira 15,341 zamwagwa, manunuzi ya ndani ya nchi yafikia Dola za Marekani bilioni

Read More...

MAFURIKO YAUWA 190 MALAWI

Takriban watu 190 sasa wamethibitishwa kufariki nchini Malawi baada ya Dhoruba ya Mafuriko ya Tropiki Freddy kulikumba eneo

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu