Kiongozi wa kundi la kigaidi ajiunga na Serikali.

In Kimataifa

Kiongozi wa zamani wa kundi la kigaidi la Al-Shabaab la nchini Somalia Mukhtar Abu Mansur, amejiondoa kutoka kwenye kundi la wapiganaji hao na kujiunga na serikali ya Somalia.

Afisa wa jeshi la Somalia Kanali Nur Mohamed amesema kuwa, Mansur na walinzi wake 7 kwa sasa wako mjini Hudur, pamoja na maafisa wa serikali.

Kujitenga kwa Mansur na Al-Shabaab, kunajiri miezi miwili tangu Marekani kuondoa kima cha dola milioni 5 juu yake, kama zawadi kwa yeyote ambaye angewezesha kukamatwa kwake.

Mansur ambaye alikuwa naibu mkuu mtendaji wa Al-Shabaab, ndiye kiongozi wa ngazi ya juu kuwahi kuliacha kundi hilo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu