Kiongozi wa kundi la kigaidi ajiunga na Serikali.

In Kimataifa

Kiongozi wa zamani wa kundi la kigaidi la Al-Shabaab la nchini Somalia Mukhtar Abu Mansur, amejiondoa kutoka kwenye kundi la wapiganaji hao na kujiunga na serikali ya Somalia.

Afisa wa jeshi la Somalia Kanali Nur Mohamed amesema kuwa, Mansur na walinzi wake 7 kwa sasa wako mjini Hudur, pamoja na maafisa wa serikali.

Kujitenga kwa Mansur na Al-Shabaab, kunajiri miezi miwili tangu Marekani kuondoa kima cha dola milioni 5 juu yake, kama zawadi kwa yeyote ambaye angewezesha kukamatwa kwake.

Mansur ambaye alikuwa naibu mkuu mtendaji wa Al-Shabaab, ndiye kiongozi wa ngazi ya juu kuwahi kuliacha kundi hilo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

ZOEZI LA UOKOAJI HANANG, MAWAZIRI WAFIKA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista J. Mhagama, Waziri wa Ujenzi Innocent

Read More...

RC MBEYA AFANYA UZINDUZI ZOEZI LA UGAWAJI VITAMBULISHO VYA (NIDA)

Mkuu wa mkoa wa mbeya Mhe. Comrede Juma Zuberi Homera amefanya uzinduzi wa wa zoezi la ugawaji wa vitambulisho

Read More...

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu