Kiongozi wa vijana wa Zanu PF akamatwa Zimbabwe.

In Kimataifa

Kudzai Chipanga, kiongozi wa vijana katika chama cha Zanu-PF, amekamatwa mjini Harare, siku moja baada ya kusema kuwa wafuasi wake walikuwa tayari kufa wakimpigania Rais Robert Mugabe.

Kitengi hicho cha vijana kinamuunga mkono mke wa Mugabe Grace kama mrithi Mugabe.

Bw. Chipanga alimpinga hadhararani Jenerali Constantino Chiwenga , baada ya mkuu huyo wa Majeshi kusema Jumatatu kuwa alikuwa amejiandaa kuchukua hatua kumaliza hisia za kutengwa katika chama cha Zanu PF.

Kisha kiongozi huyo wa vijana akajibu jana na kusema kuwa Jenerali Chiwenga hakuwa na uungwaji mkono wa jeshi lote.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Serikali kuunga mkono juhudi za Taasisi mbali mbali.

Rais wa Zanzibar Dkt Hussein Mwinyi, amesema serikaliitaendelea kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Taasisi yaZanzibar Maisha Bora Foundation,pamoja na

Read More...

DKT. KIRUSWA AZINDUA MFUMO WA USHIRIKISHWAJI WA WATANZANIA KATIKA SEKTA YA MADINI

Watanzania waendelea kunufaika Sekta ya Madini, ajira 15,341 zamwagwa, manunuzi ya ndani ya nchi yafikia Dola za Marekani bilioni

Read More...

MAFURIKO YAUWA 190 MALAWI

Takriban watu 190 sasa wamethibitishwa kufariki nchini Malawi baada ya Dhoruba ya Mafuriko ya Tropiki Freddy kulikumba eneo

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu